Logo OpenStreetMap OpenStreetMap

dnjownik wužywarja Annaviola Lema

Nejnowše zapiski dnjownika

maping at Mkunguge

Spisany wót Annaviola Lema dnja 23 August 2011 w Swahili (Kiswahili)

Nafurahia sana zoezi zima la kutengeneza ramani ya tandale kwan nmejifunza teknolojia mpya katika kuwakilisha hali halisi kati makazi,namna watu wanavyoishi,matatizo yanayowakabili na ni matukio gana yanakuwa yakitoea siku hadi siku katika jamii inayowazunguka watu,changamoto kubwa ni jinsi gani tunaweza kutatua matatizo hayo bila kuharibu utaratibu mzima wa maisha ya watu wa tandale na kazi zao za kiuchumi.

kubwa nililiona watanzania hatuna tabia ya kutunza mazingira yetu katika hali ya usafi haiwezekan mtu analalamika kuwa hakuna miundo mbinu kama mifereji ya maji machafu na iliyopo inatumika kama sehemu ya kutupa uchafu tena wa taka ngumu ,kuna utaratibu umewekwa na halimashauri gari la uchafu linapita kila wiki bado watu wanaendelea kutupa uchafu kila mahali.
Tunalalamika serikali yetu haitusaidii kitu chochote je kutupa uchafu holela ni swala linalohitaji serikal....na hakuna asiyejua kuwa uchafu ni hatari kwa afya na mazingira ya binadam.

Today task

Spisany wót Annaviola Lema dnja 17 August 2011 w English

we went to take points of intersting feautures at Mkunduge sub-ward at tandale,ways e.t.c.
Today i was amaized something which i ever thought of it but in Tandale-mkunduge there is a special place for burring kids(children) are only burried there they call it eneo la makaburi ya watoto but the bad thing is that people have incroached the place for residential pupose, some thing which is very bad i think some thing should be done.