Leo tuligawanyishwa katika magroup na si tulienda kuchukua njia za mtaa wa Kwa tumbo ambapo tulikuwa tukitumia GPS wakati tukitembea na GPS ilikuwa inajichora. Pia tulikuwa tunachukua point za muhimu kama Maduka, Shule, Matenki ya Maji, Bar, Shule za kiislam, n.k.
Tulipoludi kutoka Site, tukazidownload izo data na kuanza kuzitumia tukitrace kwenye ramani.
Discussion