OpenStreetMap-logo OpenStreetMap

Kuchukua njia na Point.

Skrevet af Msilikale05 den 16 august 2011 på Swahili (Kiswahili)

Leo tuligawanyishwa katika magroup na si tulienda kuchukua njia za mtaa wa Kwa tumbo ambapo tulikuwa tukitumia GPS wakati tukitembea na GPS ilikuwa inajichora. Pia tulikuwa tunachukua point za muhimu kama Maduka, Shule, Matenki ya Maji, Bar, Shule za kiislam, n.k.
Tulipoludi kutoka Site, tukazidownload izo data na kuanza kuzitumia tukitrace kwenye ramani.

Sted: Tumbo, Tandale, Kinondoni Municipal, Dar es-Salaam, Coastal Zone, Tanzania
E-mail-ikon Bluesky-ikon Facebook-ikon LinkedIn-ikon Mastodon-ikon Telegram-ikon X-ikon

Diskussion

Log ind for at kommentere